Search
Now showing items 1-9 of 9
Kiswahili Poetry and Its Role in Preservation of the History of Struggle for Freedom in Africa
(2015)
This research investigated the portrayal of the African politician in Kiswahili poetry.
Basically, this research intended to shed light on how different poets have portrayed
African politicians creatively with a purpose ...
Portrayal of the Contemporary African Politician in Swahili Poetry
(2015-09)
This study was, in a broader sense, intended to identify the many political, social and economic changes that the continent of Africa has undergone since independence. Among the significant changes witnessed are those of ...
Mchango wa Lugha za Kiasili katika Uafikiaji wa Maendeleo Endelevu
(2021-06)
Makala hii inajadili dhima ya lugha za kiasili, ikiwemo ya Kiswahili,
katika kuafikia maendeleo endelevu barani Afrika. Kimsingi, asilimia kubwa ya
wenyeji wa bara hili huishi katika maeneo ya mashambani na huzitumia ...
Dhima ya Kiswahili katika Uimarishaji wa Utamaduni na Mazingira kwa Mujibu wa Katiba ya Kenya
(East African Scholars Publisher, 2019-09)
The Constitution of the Republic of Kenya recognizes culture and environment as important pillars upon which the identity of its people is anchored. Chapter Two, Section 11 of the Constitution takes cognizant of culture ...
Umbuji wa Wahusika katika Ushairi wa Kiswahili: Mifano Kutoka kwa Diwani ya Jicho la Ndani (S.A. Mohamed, 2002).
(2019-06)
Suala la utunzi na uhakiki wa mashairi ya Kiswahili limejadiliwa kwa muda mrefu na washairi na wataalamu
mbalimbali. Mjadala huu umejikita katika dhana na maana ya shairi la Kiswahili na iwapo lihakikiwe kwa kuzingatia
kaida ...
Upambanuzi wa Miundo ya Toponemia katika Jamii: Mfano kutoka Jimbo Dogo la Maara nchini Kenya
(2022)
Makala hii imewasilisha uchunguzi uliofanywa kuhusu michakato na mbinu
zilizotumika katika uundaji wa toponemia katika jamii. Lengo mahsusi la utafiti huu
lilikuwa kupambanua miundo ya toponemia katika eneo la Mwimbi na ...
Ubadili Maana katika Leksia za Kîîtharaka: Mtazamo wa Kifonolojia na Kimofolojia
(2022)
Makala haya yanalenga kubainisha jinsi ubadili katika vitamkwa na mofu
unavyoathiri maana ya leksia katika Kîîtharaka. Maana katika leksia
hutegemea kipengele cha kiisimu na vile vile kile cha kijamii ili ieleweke
vilivyo. ...
Uhusiano wa Kifahiwa katika Leksia za Kîîtharaka: Mtazamo wa Leksika Pragmatiki
(2022)
Makala haya yanalenga kubainisha jinsi fahiwa zinavyohusiana katika leksia
za Kîîtharaka kwa kuzingatia mtazamo wa leksika pragmatiki.Ubadili maana
katika leksia mbalimbali husababisha kutokea uhusiano wa kifahiwa ...
Ubainishaji wa vigezo vya Utoaji Wa Toponemia katika Jamii: Mfano kutoka Jimbo Dogo la Maara nchini Kenya
(2022)
Utafiti huu wa kionomastiki ulilenga kuchanganua vigezo vya utoaji wa
toponemia za shule za msingi katika jamii. Utafiti ulifanyika katika eneo la Mwimbi na
Muthambi, jimboni dogo la Maara kwenye Kaunti ya Tharaka-Nithi, ...