• Login
    View Item 
    •   Repository
    • Journal Articles
    • Articles: Department of Education
    • View Item
    •   Repository
    • Journal Articles
    • Articles: Department of Education
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Mchango wa Lugha za Kiasili katika Uafikiaji wa Maendeleo Endelevu

    Thumbnail
    View/Open
    Full text (306.9Kb)
    Date
    2021-06
    Author
    Kinoti, Timothy M.
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Makala hii inajadili dhima ya lugha za kiasili, ikiwemo ya Kiswahili, katika kuafikia maendeleo endelevu barani Afrika. Kimsingi, asilimia kubwa ya wenyeji wa bara hili huishi katika maeneo ya mashambani na huzitumia lugha za kiasili katika mawasiliano ya kila siku. Kati ya sekta muhimu zinazoathiriwa na matumizi ya lugha ni pamoja na elimu, habari na mawasiliano, burudani, dini, uandishi na uchapishaji, utunzaji na uhifadhi wa mazingira, afya, kilimo na biashara. Aidha, upatikanaji wa maendeleo endelevu utategemea kwa kiasi kikubwa iwapo wananchi watashirikishwa katika aina mbalimbali za utafiti na matokeo yake kuwasilishwa kwa lugha wanayoielewa ili waweze kuyatekeleza. Makala hii inachukulia kuwa lugha inayo dhima kuu katika utekelezaji wa huduma na shughuli mbalimbali za kitaaluma.
    URI
    http://repository.embuni.ac.ke/handle/embuni/3803
    Collections
    • Articles: Department of Education [36]

    University of Embu©
    Contact Us |
    Designed by 
    Atmire NV
     

     

    Browse

    All of RepositoryCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    University of Embu©
    Contact Us |
    Designed by 
    Atmire NV