Search
Now showing items 31-33 of 33
Ubadili Maana katika Leksia za Kîîtharaka: Mtazamo wa Kifonolojia na Kimofolojia
(2022)
Makala haya yanalenga kubainisha jinsi ubadili katika vitamkwa na mofu
unavyoathiri maana ya leksia katika Kîîtharaka. Maana katika leksia
hutegemea kipengele cha kiisimu na vile vile kile cha kijamii ili ieleweke
vilivyo. ...
Uhusiano wa Kifahiwa katika Leksia za Kîîtharaka: Mtazamo wa Leksika Pragmatiki
(2022)
Makala haya yanalenga kubainisha jinsi fahiwa zinavyohusiana katika leksia
za Kîîtharaka kwa kuzingatia mtazamo wa leksika pragmatiki.Ubadili maana
katika leksia mbalimbali husababisha kutokea uhusiano wa kifahiwa ...
Ubainishaji wa vigezo vya Utoaji Wa Toponemia katika Jamii: Mfano kutoka Jimbo Dogo la Maara nchini Kenya
(2022)
Utafiti huu wa kionomastiki ulilenga kuchanganua vigezo vya utoaji wa
toponemia za shule za msingi katika jamii. Utafiti ulifanyika katika eneo la Mwimbi na
Muthambi, jimboni dogo la Maara kwenye Kaunti ya Tharaka-Nithi, ...