Articles: Department of Humanities
http://repository.embuni.ac.ke/handle/embuni/2443
Journal articles for Humanities2024-03-28T09:31:59ZDiscursive metaphorical representation of COVID-19 pandemic in Kenya’s newspaper headlines.
http://repository.embuni.ac.ke/handle/embuni/4289
Discursive metaphorical representation of COVID-19 pandemic in Kenya’s newspaper headlines.
Mulonzi, Brian Munyao; Ngumo, Mugambi Cyrus; Omoke, Lilian Kemunto
This study aimed to address the dearth of knowledge regarding
the portrayal of the COVID-19 pandemic in Kenyan print media,
focusing specifically on newspaper headlines. Employing Van
Dijk’s Critical Discourse Analysis (CDA) and Lakoff & Johnson’s
Conceptual Metaphor Theory (CMT), the research examined 39
headlines from The Standard and The Daily Nation newspapers,
applying inferential statistics via STATA version 15. Van Dijk’s
categorization of texts into micro and macro levels and Lakoff
and Johnson’s assertion that our ordinary conceptual system relies
heavily on metaphors underpin the methodology. The analysis
combined CDA with Pragglejazz Group’s Metaphor Identification
Procedure (MIP) to uncover that the majority of metaphors in
these headlines constructed COVID-19 pandemic in Kenya in a
grim light, associating it with war, death, and bondage. While these
metaphors serve as cautionary messages, they fall short in capturing
the proactive measures employed to combat the pandemic. This
study’s significance lies in its fusion of insights from CDA and
CMT, shedding light on how media language exposes cognition
and ideology while also revealing the media’s influence on public
perception of the pandemic.
Article
2023-10-16T00:00:00ZBibliometrics, Scientometrics, Webometrics / Cybermetrics, Informetrics and Altmetrics - An Emerging Field in Library and Information Science Research
http://repository.embuni.ac.ke/handle/embuni/4242
Bibliometrics, Scientometrics, Webometrics / Cybermetrics, Informetrics and Altmetrics - An Emerging Field in Library and Information Science Research
This Article discusses the features and the use of Metrics such as Bibliometrics, Scientometrics,
Webometrics, Informetrics and Altmetrics in the field of Library and Information Science
Research at present; This Article discusses the features and the use of Metrics such as Bibliometrics, Scientometrics,
Webometrics, Informetrics and Altmetrics in the field of Library and Information Science
Research at present
2018-01-01T00:00:00ZUyahe na Raghba ya Jinsia kama Mikakati ya Propaganda Uchunguzi Kifani wa Mdahalo wa Urais wa Kenya, 2013
http://repository.embuni.ac.ke/handle/123456789/4159
Uyahe na Raghba ya Jinsia kama Mikakati ya Propaganda Uchunguzi Kifani wa Mdahalo wa Urais wa Kenya, 2013
Wanyama, John K.
Lengo la kazi hii ni kutathmini matumizi ya uyakhe na raghba ya jinsia kama mikakati ya
propaganda katika mdahalo wa urais wa 2013. Wanasiasa hutumia mbinu anuwai kuelekeza
uelewa wa suala la kisiasa. Mara nyingi, mbinu hizi huishia kuwachanganya wapiga kura kiasi
cha kuwafanya kuchagua watu wasiofaa. Mikakati ya propaganda ndiyo hutumika zaidi katika
kampeni za kisiasa. Kazi hii imechunguza namna mikakati miwili ya uyahe na raghba ya jinsia
ilivyotumiwa na wagombea kwa lengo la kushawishi wapiga kura na kujipa umaarufu. Utafiti
uliongozwa za nadharia ya Uchanganuzi Hakiki wa Usemi na ya Uamilifu. Data ilikuwa kauli
zilizoingiana na mikakati ya uyahe na raghba ya jinsia. Uchanganuzi ulizingatia maarifa ya
kithamano, ya kimaudhui na kiuhakiki. Matokeo yalionyesha kuwepo matumizi ya mkakati wa
uyakhe na wa raghba ya jinsia katika mdahalo wa urais wa mwaka wa 2013. Mikakati hii
ilitumiwa na wagombea kwa lengo la kujijengea sifa njema huku wakilenga kubomoa sifa za
wapinzani. Pia ilitumiwa kwa dhamira ya kuuza sera za vyama vyao huku wakidhamiria
kudhalilisha sera za wapinzani. Kazi hii ni mchango muhimu kwa taaluma ya uchanganuzi
usemi na mawasiliano ya kisiasa. Ina manufaa kwa wanafunzi wa uchanganuzi usemi, sayansi
ya siasa na mawasiliano.
Politicians use various communication styles to direct and determine how voters understand
their political messages. Often, these communication styles end up blurring the voters
understanding of the issues to the extent that they end up electing undeserving people. Of the
many styles available, propaganda techniques are the most used in political campaigns. This
study analyses how two propaganda techniques; plain folk and appeal to gender were used by
candidates in the 2013 Kenyan presidential debate to both woo voters and establish their
preferability. Two theories guided the research; the Critical Discourse Analysis theory and the
Functional theory. Data was words and statements that fall in the categories of plain folk and
appeal to gender techniques. Critical, content and qualitative approaches were used to do the
analysis. Results showed that the two techniques used by candidates, on one hand built their
supposedly good leadership qualities, and on the other, destroyed qualities of their opponents.
The candidates also used the two techniques to sell their policies and those of their parties while
belittling those of the opposing parties as well as their opponents. This work is valuable to the
study of discourse analysis and political communication. It forms a good reference for students
of discourse analysis, political science and communication. Further research can be undertaken
to establish the use of other styles like rhetoric under a different theory.
2022-01-01T00:00:00ZUbandikaji Majina na Majumlishi Memeto kama Mikakati ya Propaganda Katika Mdahalo wa Urais wa Kenya 2013
http://repository.embuni.ac.ke/handle/123456789/4158
Ubandikaji Majina na Majumlishi Memeto kama Mikakati ya Propaganda Katika Mdahalo wa Urais wa Kenya 2013
Wanyama, John K.; Wandera, P. Simwa
Wanasiasa hutumia mbinu anuai kuelekeza uelewa wa suala la kisiasa; mikakati ya propaganda
haswa ndiyo hutumika zaidi katika kampeni za kisiasa miongoni mwa wanadamu wote ulimwenguni.
Shida kubwa ni kama jamii ya kistarabu na kibinadamu inaweza kuendelea kuthamini na kushiriki
katika propaganda katika shughuli za uteuzi wa uongozi: kwani kwenye propaganda huwa kupiga
chuku,uongo, chuki na mambo mengi ambayo ni kinyume na kutangamana kwa wanadamu kama
washiriki wenza katika jamii. Kazi hii imetathmini namna mikakati miwili ilitumiwa na wagombea wa
kiti cha urais nchini Kenya, mwaka wa 2013, kwa lengo la kushawishi wapiga kura na kujipa
umaarufu. Utafiti uliongozwa na nadharia ya Uchanganuzi Hakiki wa Matini. Data ilikuwa kauli
zilizoingiana na mikakati ya propaganda. Uchanganuzi ulizingatia maarifa ya kithamani, ya
kimaudhui na kiuhakiki. Matokeo yalionyesha matumizi ya ubandikaji majina na majumlishi memeto.
Tekniki hizi zilitumiwa na wagombea kwa lengo la kujijengea sifa njema huku wakilenga kubomoa
sifa za wapinzani. Pia zilitumiwa kwa dhamira ya kuuza sera za vyama vyao huku wakidhamiria
kudhalilisha sera za wapinzani. Kazi hii ni mchango adimu kwa taaluma ya uchanganuzi matini na
mawasiliano ya kisiasa. Aidha ni ya manufaa kwa wanafunzi wa uchanganuzi matini, sayansi ya siasa
na mawasiliano. Tafiti zaidi zinaweza kufanywa kuhusu mbinu nyingine kama vile balagha, na pia
kuzingatia nadharia zingine tofauti zinazohusu uchanganuzi wa matini.
2018-12-01T00:00:00Z